Header Ads

Manchester united yakamilisha usajili wa lindelof


Klabu ya Manchester United (The Red Devils) imekamilisha usajili wa beki Victor Lindelof ,22  kutoka klabu ya Benfica kwa ada ya Pauni milioni 30.7.

Victor Lindelof ameshawasiliCarrington leo kwa ajili ya vipimo vya afya na kukamilisha usajili wa kujiunga na Man United
Picha zaidi




Picha zkimuonesha akiwa manchester

Victor amekuwa target ya meneja Jose Mourinho toka January mwaka huu.

No comments

Powered by Blogger.